Mistari ya Biblia kuhusu Water: Cleansing
Mistari kuhusu Cleansing
Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi, nitawatakasa kutoka uchafu wenu wote na kutoka sanamu zenu zote.
kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,