Mistari ya Biblia kuhusu Water: The clouds
Mistari kuhusu The clouds
Kwa hiyo Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.