Mistari ya Biblia kuhusu Water: Fluid
Mistari kuhusu Fluid
alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka, akayafanya maji yatiririke kama mito.
Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka? Ni nani ameshakusanya upepo kwenye vitanga vya mikono yake? Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake? Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia? Jina lake ni nani, na mwanawe anaitwa nani? Niambie kama unajua!