Mistari ya Biblia kuhusu The Tribe Of Simeon: Bounds of their inheritance with cities and villages
Mistari kuhusu Bounds of their inheritance with cities and villages
Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
Eltoladi, Bethuli, Horma,
Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
Bilha, Esemu, Toladi,
Bethueli, Horma, Siklagi,
Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.