Mistari ya Biblia kuhusu The Tribe Of Simeon: Inheritance of, within Judah
Mistari kuhusu Inheritance of, within Judah
Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
Eltoladi, Bethuli, Horma,
Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.