Mistari ya Biblia kuhusu The Providence of God: The special preservation of saints
Mistari kuhusu The special preservation of saints
Kwa kuwa Bwana huwapenda wenye haki naye hatawaacha waaminifu wake. Watalindwa milele, lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.
Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako, wakulinde katika njia zako zote.
Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.