Mistari ya Biblia kuhusu The Providence of God: Ordering the ways of men
Mistari kuhusu Ordering the ways of men
Moyo wa mtu huifikiri njia yake, bali Bwana huelekeza hatua zake.
Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu, lakini kusudi la Bwana ndilo litakalosimama.
Hatua za mtu huongozwa na Bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?