Mistari ya Biblia kuhusu The Providence of God: Ordaining the conditions and circumstances of men
Mistari kuhusu Ordaining the conditions and circumstances of men
Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.