Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Rain: Frequently withheld on account of iniquity

4 mistari · 65 vipengele

Mistari kuhusu Frequently withheld on account of iniquity

  1. Ndipo hasira ya Bwana itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu ili mvua isinyeshe nayo ardhi haitatoa mazao, nanyi mtaangamia mara katika nchi nzuri ambayo Bwana anawapa.

  2. Kwa hiyo mvua imezuiliwa, nazo mvua za vuli hazikunyesha. Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba; unakataa kutahayari kwa aibu.

  3. Matendo yenu mabaya yamezuia haya yote, dhambi zenu zimewazuia msipate mema.

  4. “Pia niliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu kabla ya kufikia mavuno. Nilinyesha mvua kwenye mji mmoja, lakini niliizuia mvua isinyeshe mji mwingine. Shamba moja lilipata mvua, na lingine halikupata, nalo likakauka.