Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Rain: During wheat harvest in the days of Samuel

2 mistari · 65 vipengele

Mistari kuhusu During wheat harvest in the days of Samuel

  1. Je, sasa si mavuno ya ngano? Nitamwomba Bwana ili alete ngurumo na mvua. Nanyi mtatambua jambo hili lilivyo baya mlilolifanya mbele za macho ya Bwana mlipoomba mfalme.”

  2. Kisha Samweli akamwomba Bwana, na siku ile ile Bwana akatuma ngurumo na mvua. Hivyo watu wote wakamwogopa sana Bwana na Samweli.