Mistari ya Biblia kuhusu Rain: Time of the flood
Mistari kuhusu Time of the flood
Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”
Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.