Perazim
31.7500, 35.2200 Tazama kwenye Ramani za Google
Mistari inayomtaja Perazim
Bwana atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu, ataghadhibika kama alivyofanya katika Bonde la Gibeoni: ili kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu, ili kutimiza kazi yake, kazi yake ngeni.