Mistari ya Biblia kuhusu Priests: Blessing the people
Mistari kuhusu Blessing the people
“Mwambie Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli. Waambieni:
“ ‘ “Bwana akubariki na kukulinda;
Bwana akuangazie nuru ya uso wake na kukufadhili;
Bwana akugeuzie uso wake na kukupa amani.” ’
“Hivyo wataliweka Jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”