Mistari ya Biblia kuhusu Priests: After the exodus young men (first-born) deputed to act as
Mistari kuhusu After the exodus young men (first-born) deputed to act as
Hata makuhani, watakaomkaribia Bwana ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo Bwana atawaadhibu.”
Kisha akawatuma vijana wanaume wa Kiisraeli, nao wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu za mafahali wachanga kuwa sadaka za amani kwa Bwana.