Skip to content

Massah

4 verses

28.7300, 33.8400 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Massah

  1. Naye akapaita mahali pale Masa, na Meriba kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu Bwana wakisema, “Je, Bwana yu pamoja nasi au la?”

  2. Usimjaribu Bwana Mungu wako kama ulivyofanya huko Masa.

  3. Pia mlimkasirisha Bwana huko Tabera, Masa na Kibroth-Hataava.

  4. Kuhusu Lawi alisema: “Thumimu yako na Urimu yako ulimpa, mtu yule uliyemfadhili. Ulimjaribu huko Masa na kushindana naye kwenye maji ya Meriba.