Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Priests: Generally participated in punishment of the people

2 mistari · 86 vipengele

Mistari kuhusu Generally participated in punishment of the people

  1. Kama nikienda mashambani, ninaona wale waliouawa kwa upanga; kama nikienda mjini, ninaona maangamizi ya njaa. Nabii na kuhani kwa pamoja wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ”

  2. “Tazama, Ee Bwana, ufikirie: Ni nani ambaye umepata kumtendea namna hii? Je, wanawake wakule wazao wao, watoto waliowalea? Je, kuhani na nabii auawe mahali patakatifu pa Bwana?