Mistari ya Biblia kuhusu Jerusalem: Final restoration of
Mistari kuhusu Final restoration of
Yuda itakaliwa na watu milele na Yerusalemu itadumu vizazi vyote.
Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe, nitasamehe.”
Nikamuuliza, “Unakwenda wapi?” Akanijibu, “Kupima Yerusalemu, kupata urefu na upana wake.”
Kisha malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, malaika mwingine akaja kukutana naye
na kumwambia: “Kimbia, umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo.
Mimi mwenyewe nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema Bwana, ‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’