Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Jerusalem: Taken and plundered by Shishak

4 mistari · 117 vipengele

Mistari kuhusu Taken and plundered by Shishak

  1. Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya Bwana Mungu.

  2. Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.

  3. Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.

  4. Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.