Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Jerusalem: Finally dispossessed of, by David

3 mistari · 117 vipengele

Mistari kuhusu Finally dispossessed of, by David

  1. Mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi humo. Wayebusi wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu, kwani hata vipofu na viwete wanaweza kukufukuza.” Walidhani, “Daudi hawezi kuingia humu.”

  2. Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.

  3. Siku ile, Daudi akasema, “Yeyote ambaye atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji kuwafikia hao ‘viwete na vipofu’ ambao ni adui za Daudi.” Ndiyo sababu wanasema, “ ‘Vipofu na viwete’ hawataingia kwenye jumba la ufalme.”