Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Birds: What species were unclean

16 mistari · 107 vipengele

Mistari kuhusu What species were unclean

  1. “ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,

  2. mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,

  3. aina zote za kunguru,

  4. mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,

  5. bundi, mnandi, bundi mkubwa,

  6. mumbi, mwari, nderi,

  7. korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

  8. “ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.

  9. Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,

  10. kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,

  11. kunguru wa aina yoyote,

  12. mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,

  13. bundi, mumbi, bundi mkubwa,

  14. mwari, nderi, mnandi,

  15. korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

  16. Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.