Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Birds: Man's dominion over

6 mistari · 107 vipengele

Mistari kuhusu Man's dominion over

  1. Wanyama wote wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi, na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu.

  2. Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.

  3. Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.

  4. Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.

  5. Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,

  6. ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.