- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Makamanda thelathini
1 Nyakati 11:26-47
26
Wale watu mashujaa walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
27
Shamothi Mharori, Helesi Mpeloni,
28
Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
29
Sibekai Mhushathi, Ilai Mwahohi,
30
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,
31
Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,
32
Hurai kutoka mabonde ya Gaashi, Abieli Mwaribathi,
33
Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34
wana wa Hashemu Mgiloni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari,
35
Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifale mwana wa Uru,
36
Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni,
37
Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai,
38
Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri,
39
Seleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
40
Ira Mwithiri, Garebu Mwithiri,
41
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai,
42
Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,
43
Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni,
44
Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,
45
Yediaeli mwana wa Shimri, nduguye Yoha Mtizi,
46
Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithma Mmoabu,
47
Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.
Settings