Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Sea: Set bounds to, by a perpetual decree

6 mistari · 55 vipengele

Mistari kuhusu Set bounds to, by a perpetual decree

  1. Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.

  2. “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,

  3. nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,

  4. niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?

  5. Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake, wakati alichora mstari wa upeo wa macho juu ya uso wa kilindi,

  6. wakati aliiwekea bahari mpaka wake ili maji yasivunje agizo lake, na wakati aliweka misingi ya dunia.