Mistari ya Biblia kuhusu The Sea: Raised by the wind
Mistari kuhusu Raised by the wind
Kwa maana alisema na kuamsha tufani iliyoinua mawimbi juu.
Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini, katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
Ndipo Bwana akatuma upepo mkali baharini, nayo dhoruba kali sana ikavuma hata meli ikawa hatarini kuvunjika.