Mistari ya Biblia kuhusu The Sea: The shore of, covered with sand
Mistari kuhusu The shore of, covered with sand
hakika nitakubariki, na nitauzidisha uzao wako kama nyota za angani na kama mchanga ulioko pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao,
Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, ndege warukao kama mchanga wa pwani.