Mistari ya Biblia kuhusu The Sea: Deep
Mistari kuhusu Deep
Huvisukasuka vilindi kama sufuria kubwa ichemkayo, na kukoroga bahari kama chungu cha marhamu.
Waliziona kazi za Bwana, matendo yake ya ajabu kilindini.
Mara tatu nilichapwa kwa fimbo, mara moja nilipigwa kwa mawe, mara tatu nimevunjikiwa na meli, nimekaa kilindini usiku kucha na mchana kutwa,