Mistari ya Biblia kuhusu Tabernacle: Strangers forbidden to enter
Mistari kuhusu Strangers forbidden to enter
Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa.