Mistari ya Biblia kuhusu Tabernacle: Moses was commanded to make after a divine pattern
Mistari kuhusu Moses was commanded to make after a divine pattern
Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.
“Simamisha Hema sawasawa na mfano ulioonyeshwa kule mlimani.
Wanahudumu katika patakatifu palipo mfano na kivuli cha mambo ya mbinguni. Hii ndiyo sababu Mose alionywa alipokaribia kujenga hema, akiambiwa: “Hakikisha kuwa unavitengeneza vitu vyote kwa mfano ulioonyeshwa kule mlimani.”