Mistari ya Biblia kuhusu Seed: The word of God
Mistari kuhusu The word of God
“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele.