Mistari ya Biblia kuhusu Seed: Difference between, and the plant which grows from it, noticed
Mistari kuhusu Difference between, and the plant which grows from it, noticed
Mpandapo, hampandi mwili ule utakao kuwa, bali mwapanda mbegu tu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.
Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.