Mistari ya Biblia kuhusu Seed: Required to be watered by the rain
Mistari kuhusu Required to be watered by the rain
Kama vile mvua na theluji ishukavyo kutoka mbinguni, nayo hairudi tena huko bila kunywesha dunia na kuichipusha na kuistawisha, hivyo hutoa mbegu kwa mpanzi na mkate kwa mlaji,