Mistari ya Biblia kuhusu Riches: Cannot redeem the soul
Mistari kuhusu Cannot redeem the soul
wale wanaotegemea mali zao na kujivunia utajiri wao mwingi?
Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kuukomboa uhai wa mwingine, au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.
Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,
ili kwamba aishi milele na asione uharibifu.
Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,