Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Riches: Profit not by

3 mistari · 107 vipengele

Mistari kuhusu Profit not by

  1. Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.

  2. Mtu mmoja hujifanya tajiri, kumbe hana chochote; mwingine hujifanya maskini, kumbe ana utajiri mwingi.

  3. Mali ikiongezeka, ndivyo walaji wanavyoongezeka. Hii nayo inamfaidia nini mwenye mali isipokuwa ni kushibisha macho yake?