Mistari ya Biblia kuhusu Riches: Isaac
Mistari kuhusu Isaac
Isaki akawa tajiri, mali zake zikaendelea kuongezeka mpaka akawa tajiri sana.
Akawa na mifugo ya kondoo na ngʼombe, na watumishi wengi sana, kiasi kwamba Wafilisti wakamwonea wivu.
Isaki akawa tajiri, mali zake zikaendelea kuongezeka mpaka akawa tajiri sana.
Akawa na mifugo ya kondoo na ngʼombe, na watumishi wengi sana, kiasi kwamba Wafilisti wakamwonea wivu.