Mistari ya Biblia kuhusu Riches: Cannot secure prosperity
Mistari kuhusu Cannot secure prosperity
Kwa maana jua kali lenye kuchoma huchomoza na kuliunguza, likayakausha majani, na ua lake likapukutika, nao uzuri wake huharibika. Vivyo hivyo tajiri naye atanyauka akiwa anaendelea na shughuli zake.