Mistari ya Biblia kuhusu Riches: Get, unlawfully
Mistari kuhusu Get, unlawfully
Kama kware aanguaye mayai asiyoyataga, ndivyo alivyo mtu apataye mali kwa njia zisizo za haki. Maisha yake yafikapo katikati, siku zitamwacha, na mwishoni atabainika kuwa mpumbavu.