Mistari ya Biblia kuhusu Prophecies Respecting Christ: His being numbered with the transgressors
Mistari kuhusu His being numbered with the transgressors
Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu, naye atagawana nyara pamoja na wenye nguvu, kwa sababu aliyamimina maisha yake hadi mauti, naye alihesabiwa pamoja na wakosaji. Kwa kuwa alichukua dhambi za wengi, na kuwaombea wakosaji.