Mistari ya Biblia kuhusu Prophecies Respecting Christ: His poverty
Mistari kuhusu His poverty
Alikua mbele yake kama mche mwororo na kama mzizi katika nchi kavu. Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvutia kwake, hakuwa na chochote katika sura yake cha kutufanya tumtamani.