Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Prophecies Respecting Christ: As the seed of David

2 mistari · 66 vipengele

Mistari kuhusu As the seed of David

  1. Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,

  2. Bwana asema, “Siku zinakuja, nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki, Mfalme atakayetawala kwa hekima, na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.