Mistari ya Biblia kuhusu Night: Meditations in
Mistari kuhusu Meditations in
Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku. Moyo wangu ulitafakari na roho yangu ikauliza:
Sikufumba macho yangu usiku kucha, ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
Kama nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”