Skip to content

Bakbukiah

3 mistari

Mistari inayomtaja Bakbukiah

  1. Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.

  2. Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.

  3. Mabawabu waliokuwa wakilinda kwenye malango ya ghala ni: Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu.