Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Night: Accompanied by heavy dew

5 mistari · 42 vipengele

Mistari kuhusu Accompanied by heavy dew

  1. Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao.

  2. Hivyo ndivyo ilivyotokea. Gideoni akaamka asubuhi na mapema kesho yake, akaikamua ile ngozi, umande ukatoka, maji ya kujaa bakuli.

  3. Usiku ule Mungu akafanya hivyo. Ngozi ile ilikuwa kavu, nayo ardhi yote ikafunikwa na umande.

  4. Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.

  5. Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho. Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha: “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, asiye na hitilafu. Kichwa changu kimeloa umande, na nywele zangu manyunyu ya usiku.”