Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Night: Seasons of severe calamities

2 mistari · 42 vipengele

Mistari kuhusu Seasons of severe calamities

  1. Mlinzi anajibu, “Asubuhi inakuja, lakini pia usiku. Kama ungeliuliza, basi uliza; bado na urudi tena.”

  2. (yeye ambaye alifanya Kilimia na Orioni, ambaye hugeuza giza kuwa mapambazuko na mchana kuwa usiku, ambaye huyaita maji ya bahari na kuyamwaga juu ya uso wa nchi: Bwana ndilo jina lake;