Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Afflicted Saints: Joseph

7 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Joseph

  1. Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa. Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani,

  2. Bwana alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza.

  3. Kwa hiyo msimamizi wa gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani.

  4. Msimamizi wa gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote kilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja na Yosefu akimfanikisha kwa kila alichofanya.

  5. naye akatuma mtu mbele yao, Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.

  6. Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,

  7. hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia, hadi neno la Bwana lilipomthibitisha.