Mistari ya Biblia kuhusu Afflicted Saints: Christ preserves
Mistari kuhusu Christ preserves
Katika taabu zao zote naye alitaabika, na malaika wa uso wake akawaokoa. Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa, akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.
Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.