Mistari ya Biblia kuhusu Afflicted Saints: Should be frequent in prayer
Mistari kuhusu Should be frequent in prayer
na uniite siku ya taabu; nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema: “Una haki gani kunena sheria zangu au kuchukua agano langu midomoni mwako?
Unachukia mafundisho yangu na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.