Mistari ya Biblia kuhusu Afflicted Saints: Should keep the pious resolutions made during afflictions
Mistari kuhusu Should keep the pious resolutions made during afflictions
Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono na sadaka za kondoo dume, nitakutolea mafahali na mbuzi.