Skip to content
2 Samweli 23:24-39

2 Samweli 23:24-39

24
Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo: Asaheli ndugu wa Yoabu; Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu;
25
Shama, Mharodi; Elika, Mharodi;
26
Helesi, Mpalti; Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa;
27
Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai, Mhushathi;
28
Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;
29
Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi; Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini;
30
Benaya Mpirathoni; Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;
31
Abi-Alboni, Mwaribathi; Azmawethi, Mbarhumi;
32
Eliaba, Mshaalboni; wana wa Yasheni; Yonathani
33
mwana wa Shama, Mharari; Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;
34
Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi; Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;
35
Hezro, Mkarmeli; Paarai, Mwarbi;
36
Igali mwana wa Nathani kutoka Soba; Bani, Mgadi;
37
Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;
38
Ira, Mwithiri; Garebu, Mwithiri;
39
na Uria, Mhiti. Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options