- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu Young Men
Mistari muhimu ya Biblia
Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe; mche Bwana ukajiepushe na uovu.
Hii itakuletea afya mwilini mwako, na mafuta kwenye mifupa yako.
Mheshimu Bwana kwa mali zako na kwa malimbuko ya mazao yako yote;
ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika, viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.
Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana na usichukie kukaripiwa naye,
kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao, kama vile baba afanyavyo kwa mwana apendezwaye naye.
Heri mtu yule aonaye hekima, mtu yule apataye ufahamu,
kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
Hekima ana thamani kuliko marijani; hakuna chochote unachokitamani kinachoweza kulinganishwa naye.
Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume; katika mkono wake wa kushoto kuna utajiri na heshima.
Njia zake zinapendeza, mapito yake yote ni amani.
Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.
Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia, kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;
kwa maarifa yake vilindi viligawanywa, nayo mawingu yanadondosha umande.
Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara, usiache vitoke machoni pako;
ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako na pambo la neema shingoni mwako.
Kisha utaenda katika njia yako salama, wala mguu wako hautajikwaa;
ulalapo, hautaogopa; ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.
Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,
kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.
Usizuie wema kwa wale wanaostahili ikiwa katika uwezo wako kutenda.
Usimwambie jirani yako, “Njoo baadaye, nitakupa kesho”: wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.