Mistari ya Biblia kuhusu Warfare of Saints: Enemies
Mistari kuhusu Enemies
Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari, wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa, wengi wananishambulia kwa kiburi chao.
Tazama wanavyonivizia! Watu wakali wananifanyia hila, ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea wala kutenda dhambi.